Close search
Umbu
© 2021 UMBU
Menu
  • Nyumbani
  • Kuhusu
  • Hadithi
  • Ushairi
  • Makala
  • Matoleo
    • Toleo la 1: Titi

Lilian Mbaga

Lilian Mbaga ni mwandishi wa vitabu vya Riwaya na vitabu vya Hadithi za wototo. Vitabu vya Riwaya: Tabasamu la Uchungu (2014), Hatinafsi (2018) Tuzo (2019) kitabu kilichoandikwa kwa ushirikiano wa waandishi watano. Vitabu vya watoto: Paka na Juli, Simba muoga, Kisa cha Samaki kuishi majini, Sara na Paulo katika msitu wa ajabu. Pia, Lilian ni mwanachama wa chama cha Waandishi wa Riwaya wenye Dira (UWARIDI).
Kidonda

Kidonda

Hadithiby Lilian Mbaga